Simba na Yanga sio Uadui, Mwanangu Mwenyewe wa Kumzaa ni Yanga – Haji Manara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Simba na Yanga sio Uadui, Mwanangu Mwenyewe wa Kumzaa ni Yanga – Haji Manara
Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Simba, Haji Manara, amefunguka kuhusu matusi anayoyapata kutoka kwa mashabiki wa Yanga.



Akiongea kwenye kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM, Manara amesema anatukanwa sana na mashabiki wa Yanga mpaka imefikia hatua wanamuunganisha kwenye magroup yao ya Whatsapp ya timu yao.

“Ninatukanwa sana, matusi mabaya ya ushamba, na wengine wananiunga hadi kwenye magroup ya whatsapp ya Yanga,” amesema Manara.

“Simba na Yanga sio uadui ni watani wa jadi. Mimi mwanangu mwenyewe wa kumzaa ni Yanga,” ameongeza.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad