AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Simba imeamua kumuweka Manula katika listi ya wachezaji wanaopumzishwa wakati wa michuano hiyo itakayofanyika mwishoni mwa mwezi huu jijini Dar es Salaam.
Manula ndiye kipa aliyedaka mechi nyingi zaidi kwa msimu uliopita kwa kuwa alishiriki michuano mingi akiwa na Simba.
Nafasi ya Manula itachukuliwa na Said Mohammed 'Nduda' ambaye alidaka mechi mbili tu za ligi kuu kutokana na kuandamwa na majeraha.
Pamoja na Manula, Simba imewapumzisha wachezaji wake zaidi akiwemo Haruna Niyonzima ambaye ni majeruhi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK