AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tour hii itahusisha mikoa mbalimbali na pia wasanii ambao wapo chini ya record label ya Mdee Music watapewa nafasi ya kuperform katika mikoa hiyo, mkoa wa kwanza kuhusishwa ni Rock City Mwanza ambapo Vanessa Mdee pamoja Juma Jux watawasili na kutoa burudani June 30,2018.
“Kwanza Kabisa Thanks To The Lord najiona kabisa nikitua #Mwanza#Fimbo ake mtu #ILAM #MapenziNaPesaThe Vanessa Mdee and Jux Tour. Leo tutaanza kutambulisha wasanii watakao ungana nasi Mwanza. Wewe unataka kumuona nani pale kati? #InLoveAndMoneyTour“
Mkoa wa Mwanza ndio utafungua tour hiyo ya Inlove & Money ikiwa ndio itakua mara ya pili kwa Vanessa Mdee pamoja Juma Jux kufanya performance katika mkoa huo ambapo mara ya kwanza ilikuwa kwenye Fiesta 2017.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK