Breaking News: Mbunge Prof Maji Marefu Akimbizwa Muhimbili kwa Ndege ya Dharura

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Breaking News: Mbunge Prof Majimarefu Akimbizwa Muhimbili kwa Ndege ya Dharura
Mbunge wa Korogwe Vijijini mkoani Tanga Steven Ngonyani  maarufu kwa  jina la Prof Maji Marefu (CCM) ambaye hivi karibuni alipata pigo la kufiwa na mke wake leo hii amesafirishwa kwa ndege ya dharura kutokea mkoani Dodoma kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa matibabu zaidi.

Bado haijajulikana ni ugonjwa gani ambao unamsumbua Mbunge huyo huku taarifa zikieleza kuwa alikuwa amelazwa katika hospitali ya Mkoa wa Dodoma toka Jumatatu ya wiki hii.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad