AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tamasha hilo litafanyika September 1 -2,2018 Philadelphia, Marekani katika ukumbi wa Benjamin Franklin Parkway ambapo staa huyo ametajwa kwenye list ya wasanii watakao’perform katika tamasha hilo akiambatana na wasanii maarufu kama Meek Mill, Nicki Minaj, Miguel, Janele Monae,Ty Dolla $ign na wengine wengi.
Tamasha hilo la Made in America ni tamasha kubwa ambalo hufanyika kila mwaka nchini Marekani na lilianzishwa mwaka 2012 na Rappaer mkongwe wa Hip Hop Jay Z.
Staa Davido atakua msanii pekee kutokea Nigeria atakayeliwakilisha Bara la Afrika katika tamasha hilo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK