Fisi Azua Taharuki Mwanza Wavamia Kijiji na Kula Ng'ombe Wawili kwa Dakika 45

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Fisi Azua Taharuki Mwanza Wavamia Kijiji na Kula Ng'ombe Wawili kwa Dakika 45
Wakazi wa kitongoji cha Chang’ombe kijiji cha Iligamba, Mwanza wamejawa na taharuki baada ya fisi kuvamia katika makazi yao na kutafuna ngómbe wawili kijiji hapo.

Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo saa nane usiku ambapo fisi hao walivamia nyumbani kwa Dominic Mgisa mkazi wa kitongoji cha Changómbe na kutafuna ngómbe hao, Kwa mujibu wa Mgisa, fisi hao waliwatafuna ng’ombe hao na kuwamaliza ndani ya dakika 45.

“Niligundua kuwa mifugo yangu inaliwa na fisi baada ya kutoka nje kujisaidia, niliposogea nikaona fisi, nikaogopa wasije kunidhuru nikarudi ndani,” amesema

Baada ya kuona hivyo Migisa alisema alipiga kelele kuomba msaada kwa majirani lakini hakuna aliyejitokeza kumsaidia kwa kuwa wengi waliwaogopa wanyama hao.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad