AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Risasi Jumamosi Lulu Diva alisema kuwa, japo Mavoko ni Mkristo, lakini hajaingilia funga yake kwani mara nyingi wanaonana baada ya futari tu na huwa ni kwa ajili ya maongezi ya kawaida na si vinginevyo.
“Unajua sasa hivi niko kwenye mfungo lakini siwezi nikasema nitaacha kumuona Mavoko mpaka mwezi huu uishe, itakuwa ngumu. Ninachokifanya kila ninapomaliza kufuturu namuona na uzuri anaheshimu swaumu yangu sana tu,” alisema Lulu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK