AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ngoma alikuwa katika jiji la Cape Town kwa ajili ya vipimo hivyo ambavyo tayari vimekamilika na leo mchana Daktari wake atatoa ripoti ya matokeo ya vipimo hivyo.
Kwa mujibu wa Afisa Habari wa klabu ya Azam, Jaffer Idd, amesema Ngoma atawasili majira ya leo mchana akiwa sambamba na daktrari wake aliyeenda naye Afrika Kusini.
Ikimbukwe Ngoma alishindwa kucheza talribani mechi zote za msimu uliopita kutokana na kusumbuliwa na majeraha wakati akiwa Yanga.
Mapema baada ya kuingia naye mkataba, Azam waliazimia kumsafirisha mpaka Cape Town kwa ajili ya kufanyiwa vipimo kiafya.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK