Mboso Awaomba Radhi Basata Kisa Video Yake Chafu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wikiendi iliyopita msanii kutoka WCB, Mbosso aliposti video chafu kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii akicheza na mwanamke jukwaani huko mkoani Mtwara alivyokuwa akitumbuiza, video ambayo imepelekea Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) leo Juni 20, 2018 kumuita kwa mahojiano juu ya video hiyo.

Sasa baada ya mahojiano na BASATA, Mbosso amesema kuwa amemalizana na BASATA kwa kuwaomba msamaha kwa yaliyotokea na kuwataka mashabiki wake wamsamehe kwa kuposti video hiyo ambayo watu wengi wameilalamikia kuwa ni kinyume na maadili ya Mtanzania.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad