AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakati wa mahojiano, alisema alikuwa na mpango wa kupata pesa kutoka kwa wanaume hao. Kulingana na ripoti, alikamatwa alipokuwa akimchezea mwanamume mmoja kwa lengo la kumpora. Iliripotiwa pia kuwa mshukiwa huyo alikamatwa na maafisa wa polisi.
Kwa kutazama picha, mwanamume huyo alikuwa amejimwaya mavazi ya kike pamoja na herini na ‘wig’.
Alikuwa pia amejipaka vipodozi ili aonekane mwanamke kamili.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK