Nina Kazi Nyingi za Kuniingizia Fedha Kuliko Muziki- Shilole

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nina Kazi Nyingi za Kuniingizia Fedha Kuliko Muziki- Shilole
Msanii wa Bongo Flava, Shilole amema si kweli kuolewa kwake kunamfanya kushuka kimuziki.

Muimbaji huyo akizungumza katika show ya Davido mwishoni mwa wekeend iliyopita amesema kuwa amekuwa kimya kutokana ana kazi nyingi nje ya muziki ila sio ndoa.

“Sio kweli, mimi ningekuwa nimepungua kwenye game usingenifanyia interview sasa hivi. Sio kweli nina kazi nyingi za kuniingizia fedha kuliko muziki,” alisema Shilole.

Tangu Shilole aipoolewa December 06, 2017 hajatoa wimbo wowote, wimbo wake wa mwisho kutoa unaitwa Kigori ambao ulitoka August 07, 2017.

Licha ya Shilole kuwa msanii kwa upande mwingine ni mjasiriamali ambapo kwa sasa anamiliki biashara kadhaa kama mgahawa wa chakula ‘Shishi Food’, na bidhaa za Shishichili.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad