Nuh Mziwanda Amkana Amber Lulu na Shilole

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nuh Mziwanda Amkana Amber Lulu na Shilole
Msanii wa Bongo Flava, Nuh Mziwanda amefunguka kuhusu mahusiano yake na Amber Lulu na iwapo kwa sasa ana ukaribu na aliyekuwa mpenzi wake, Shilole.

Muimbaji huyo akipiga stori na Wasafi TV amesema kuwa hajawahi kuwa na mahusiano na Amber Lulu kama inavyodhaniwa.

Kauli ya msanii huyo inakuja baada ya hivi karibuni kuvuja kwa video mtandaoni ikimuonesha akiwa na Amber Lulu katika mahaba mazito.

“Sijawahi kuwa na mahusiano na Amber Lulu, mabwana zake wengi pia ni watu ambao mimi nawafahamu. Hata siku kinafanyika kile kitu bwana yake mmoja alikuwepo,” amesema Nuh.

Alipoulizwa iwapo amewahi kwenda kula kwenye mgahawa ‘Shishi Ford’ wa aliyekuwa mpenzi wake, Shilole, alisema ni kitu ambacho hawazi kukifanya.

“Siwezi hata kukanyaga mguu wangu pale, siwezi na siwezi kwenda pale kula, hata mama yangu anajua kupika,” amesisitiza.

Utakumbuka baada Nuh Mziwanda kuachana na Shilole alifunga ndoa na binti aitwae Nawal hata hivyo walikuja kuachana. Baadae kabisa Shilole naye alikuja kuolewa na Uchebe.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad