Ajali Yaua Mke wa Mfalme na Mwanaye

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ajali Yaua Mke wa Mfalme na Mwanaye
Jeshi la polisi limesema kuwa ajali iliyosababisha kifo cha mke wa mfalme wa nchi hiyo Ouk Phala ni ya kawaida nchini Cambodia.

Iliripotiwa kuwa ajali mbaya ya barabani iliyotokea jumapili asubuhi mkoani Preah Sihanouk, kusini magharibi mwa Cambodia na kusababisha majeruhi ya mwana wa mfalme wa nchi hiyo Norodon Ranariddh na kifo cha mkewe Ouk ni “ajali ya kawaida”.

Kaimu Mkuu wa Polisi nchini humo Him Yan amemlaumu dereva wa taxi Mil Saret kwa kusababisha ajali hiyo mbaya, na kwamba dereva huyo amefunguliwa mashtaka ya uendeshaji mbaya na kusababisha kifo.

 Amesema ajali hiyo imetokea kwa kuwa dereva aliendesha kwa kasi na kujaribu kupita gari nyingine, na kugongana uso kwa uso na gari ya mwana mfalme.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad