AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kenyatta alisema katika taarifa hiyo kwamba watumishi wa umma wataulizwa kuelezea chanzo cha utajiri wao na wale wanaopatikana na hatia na uharibifu wa rasilimali za kitaifa watahitajika kueleza chanzo cha utajiri wao.
“Lazima uweze kuelezea jinsi ulivyopata gari lako, nyumba yako na ardhi kwa kulinganisha na kile unachopata,” Kenyatta alisema katika jiji la Mombasa baada ya kuanzisha mradi wa barabara kuu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK