AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa FIFA Ronaldo atakuwa na jukumu la kupeleka uwanjani Kombe la Ubingwa wa Dunia ambalo mataifa 32 yaliyofuzu yatakuwa yanaliwania. Ronaldo atatambulisha Kombe hilo tayari kwa kufungua mashindano hayo ambayo yatamalizika Julai 15.
Mbali na Ronaldo shughuli nzima ya burudani kwenye ufunguzi huo itasimamiwa na mwimbaji wa Pop kutoka nchini Uingereza Robbie Williams ambaye ataungana na msanii wa Urusi Aida Garifullina.
Seherehe za ufunguzi wa fainali hizo zitaanza majira ya saa 6:00 mchana kwenye uwanja wa Luzhniki jijini Moscow. Urusi na Tanzania zinaendana kwa saa isipokuwa katika mij kadhaa.
Ronaldo De Lima amechukua Kombe la Dunia mara 2 akiwa na timu yake ya taifa Brazil mwaka 1994 na 2002. Pia nguli huyo allibuka mfungaji bora wa fainali za mwaka 2002 kwa kufunga jumla ya mabao 8.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK