AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Chambusso amesema yeyote anayeona mafanikio ya msanii huyo ni kutokana na kazi za muziki hadi sasa, pia alikanusha kuwa mjengo ameupata baada ya kusaini label ya King Empire.
“Ukimuona Aslay ana kimjengo, ana gari nzuri anafanya show ana kazi zake zinazoendelea,” Chambuso ameaimbia EATV.
Kuhusu iwapo Aslay amesaini King Empire, Chambuso alisema bado ni mapema kuweka wazi hilo ila kuna mambo yanakuja.
“Kuna vitu vinakuja hatuwezi kuongea, King Empire inakuja inamiliki wasanii kama watano hivi. Inawekana kwa msanii yeyote kwa sababu mimi nipo King Empire, kwa hiyo lolote inaweza kutokea, Aslay awepo au asiwepo,” alisema.
Utakumbuka October 31, 2017 aliweka wazi kukabidhiwa gari aina ya BMW na menejimenti yake. Haikuwa gari ya kwanza kwa Aslay kuipata kutoka kwenye muziki, May 2015 alikabidhiwa gari na menejimenti ya Mkubwa Fella aliyokuwa akifanya nayo kazi kwa kipindi hicho.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK