Simba Kumuweka Kando Jonas Mkude Michuano ya Kagame

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Simba Kumuweka Kando Jonas Mkude Michuano ya Kagame
Kiungo mkabaji wa Simba, Jonas Mkude atapumzishwa katika michuano ya Kombe la Kagame, mwishoni mwa mwezi huu.

Taarifa kutoka Simba zimeeleza, Mkude atapumzishwa kutokana na kutumika sana.

"Katumika sana, anastahili kupumzika kwa kuwa baada ya hapo Simba itakuwa na michuano mingi sana.

"Kumbuka kuna suaka la kambi pia, hivyo ni lazima apate muda wa kupumzika pia," alisema mtoa taarifa.

Amesema pamoja na Mkude wachezaji wengine kadhaa pia watapumzishwa.

"Sijajua ni kina nani, lakini wako wengine ambao watapumzishwa. Ni suala ambalo nakuhakikishia litakuwepo."

Wakati wa michuano ya SportPesa Super Cup, Simba iliwapumzisha baadhi ya wachezaji wake akiwemo John Bocco aliyekuwa majeruhi, Emmanuel Okwi, Asante Kwasi na Waghana wengine wawili, Nicholas Gyan na James Kotei.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad