Snura Aitwa na Basata Abanwa kwa Masaa Matatu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Snura Aitwa na Basata Abanwa kwa Masaa Matatu
Msanii wa muziki Snura Mushi ameingia kwa mara nyingine kwenye anga za Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA).

Jumatano hii msanii huyo ameitwa kwenye Baraza hilo kutokana na video yake chafu iliyosambaa mtandaoni inayomuonyesha akicheza jukwaani.

Kikao hicho kimedumu kwa zaidi ya masaa matatu na hata hivyo msanii huyo amekataa kuzungumzia tukio hilo.

Hii ni takribani mara ya pili kwa msanii huyo kuitwa kwenye Baraza hilo ambalo limewahi kufungia ngoma yake ya ‘Chura’.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad