Wasanii wa China na Tanzania Kubadilishana Uzoefu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wasanii wa China na Tanzania Kubadilishana Uzoefu
Serikali ya Nchini china kupitia Wizara ya Utamaduni na Utalii imeamua kutoa fulsa kwa wasanii wa Tanzania na China  kwa ajili ya kubadirishana ujuzi wao kupitia warsha ya siku mbili iliyoandaliwa.

Mkurugenzi wa kituo cha Utamaduni wa China, Gao Wei amefunguka kuhusu warsha hiyo na  akusema kuwa wasanii hao wataongeza uzalishaji wa kazi za mikono na watajifunza mambo mbalimbali ambayo kwa nchi hizo mbili zitakapoweza kuonyesha ujuzi wao.

Ofisa utamaduni mkuu kutoka Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Habibu Msammy amesema kukutana kwa wasanii hao si tu kutaongeza uzoefu bali thamani ya bidhaa zao ili ziweze kuuzika kimataifa.

"Bidhaa itakapokuwa nzuri na yenye thamani itauzwa popote pale duniani, kwa hiyo tumieni warsha hii kujifunza vingi msivyovijua kutoka kwa wenzetu wa China ili kukuza sekta hii ya sanaa za mikono," amesema.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad