AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mahakama za chini zilitaja marufuku hiyo kwenda kinyume na katiba, lakini mahakama hiyo ya juu zaidi imepindua uamuzi huu kwa ridhaa ya baadhi ya majaji katika tangazo lililotolewa Jumanne.
Marufuku hiyo inawazuia raia kutoka mataifa ya Somalia, Libya, Iran, Syria na Yemen kuingia Marekani
Kumekuwa na shutuma kali kutoka kwa wakimbizi na mashirika ya kutetea haki za binaadamu dhidi ya marufuku hiyo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK