Wizkid Kunogesha Ufunguzi Kombe la Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wizkid Kutoa Burudani Leo Ufunguzi Kombe la Dunia
Tetesi zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii ni kuhusu staa maarufu kutokea Nigeria Wizkid “Starboy”  kutajwa katika list ya wasanii ambao watatoa burudani katika kombe la dunia FIFA mwaka 2018 litakalofanyika leo June 14,2018 nchini Russia.

Tetesi hizo zinadai kuwa Wizkid atakuwa akitoa burudani na mastaa maarufu duniani akiwemo Will Smith(Marekani), Nicky Jam(Marekani), Era Istrefi ambao wataperform wimbo rasmi wa kombe la dunia na hii ni nafasi kubwa kwa staa huyo kutokea Nigeria.

Hizi ni kati ya timu 32 zitakazoshiriki kombe la dunia mwaka huu wa 2018 ambazo ni Brazil, Nigeria, Morocco, Misri, Germany, Portugal na nyingine nyingi.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad