AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mshambuliaji huyo amejiunga na timu hiyo baada ya mkataba wake wa miaka miwili ya kuendelea kuichezea Yanga kumalizika kabla ya kutimkia Misri.
Mzambia huyo baada ya mkataba wake kumalizika aliuomba uongozi wa timu huyo kuondoka kwenye klabu hiyo na kwenda kutafuta changamoto nyingine kwingine na kumruhusu na klabu ya Ismailia ya nchini huko ndiyo alikuwa anaitaja.
Kwa mujibu wa mtandao wa klabu hiyo, Chirwa rasmi amesaini mkataba na kutambulishwa rasmi huku akikabidhiwa jezi ya klabu hiyo.
Hivyo, Chirwa kwenye msimu ujao ataitumikia Noogom El Mostakbal inayoshiriki Daraja la Pili baada ya kufikia muafaka mzuri na kusaini mkataba.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK