AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ayumi alipokuwa akihojiwa na Polisi alisema kuwa alifanya hivyo ili kuepukana na shida ya kuwaelezea familia za wafiwa chanzo cha vifo vya ndugu zao.
Kwa mujibu wa sheria za Hospitali ya Oguchi ya mjini Tokyo ambayo Ayumi ndipo anapofanyia kazi zinasema kuwa Muuguzi ndie mwenye wajibu wa kuwapa taarifa ndugu endapo Mgonjwa atafariki kwenye zamu yake na ndio maana alifanya hivyo kukwepa kadhia hiyo.
Aidha uchunguzi wa Polisi unasema kuwa Ayumi aliwapa sumu hata Wagonjwa wengine ambao hawakuwa na hali mbaya. Kwa sasa Ayumi anashikiliwa na jeshi la Polisi la nchini humo kwa ajili ya kupandishwa kizimbani.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK