Muuguzi Awachoma Sindano za Sumu Wagonjwa 20 Wenye Hali Mbaya ili Wafe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Muuguzi Awachoma Sindano za Sumu Wagonjwa 20 Wenye Hali Mbaya ili Wafe
Muuguzi aitwae Ayumi Kuboki mwenye miaka 31 anatuhumiwa kuwachoma sindano za sumu Wagonjwa 20 wenye hali mbaya ili wafe kwenye zamu ya Muuguzi mwingine.

Ayumi alipokuwa akihojiwa na Polisi alisema kuwa alifanya hivyo ili kuepukana na shida ya kuwaelezea familia za wafiwa chanzo cha vifo vya ndugu zao.

Kwa mujibu wa sheria za Hospitali ya Oguchi ya mjini Tokyo ambayo Ayumi ndipo anapofanyia kazi zinasema kuwa Muuguzi ndie mwenye wajibu wa kuwapa taarifa ndugu endapo Mgonjwa atafariki kwenye zamu yake na ndio maana alifanya hivyo kukwepa kadhia hiyo.

Aidha uchunguzi wa Polisi unasema kuwa Ayumi aliwapa sumu hata Wagonjwa wengine ambao hawakuwa na hali mbaya. Kwa sasa Ayumi anashikiliwa na jeshi la Polisi la nchini humo kwa ajili ya kupandishwa kizimbani.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad