AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mrembo huyo ameonyesha kuchukizwa na kauli hizo hali ambayo imemfanya awatolee uvuvi wote ambao wamekuwa akimtupia maneno kuhusu munonekano wake wa mavazi.
“Kama kuna mwanaume anaweza kuvaa nguo zangu ajue kabisa sio mwanaume aliyekamili na atakua na matatizo,” aliandika rapa huyo kupitia instagram.
Aliongeza, “Na wewe ambaye kila ukikaa unajudge mavazi yangu na muonekano ujue unajipotezea muda navaa navyojisikia kuvaa na uwanamke wangu si wa mavazi..Upo nyonyo👌. Mwanaume kamili anajua mimi ni mwanamke. Kama huwezi kushabikia mziki wangu bila kuangalia mavazi hufai kua shabiki wangu pia..shenz type Mxiuuuw,”
Mwanadada huyo amekuwa aliandamwa sana mitandaoni kutoka na mavazi ambayo amekuwa aliyavaa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK