AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Anasema alitokewa na Yesu, akampa tiketi ili awagawie watu wenye dhambi ili siku ikifika waingilie kwenye mageti ya mbinguni.
Bei ya tiketi moja ni USD 500 zaidi ya Milioni moja ya Kitanzania.
Alipokamatwa amesema hajali, maana anajua anateswa kwa sababu ya kufanya kazi ya Mungu.
Watu wengi wanaandamana kupinga kukamatwa kwa mchungaji wao, kwa sababu hizo pesa wanazotoa ni zao, na kwa hiyari yao kwa ajili ya uzima wao.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK