AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kampuni ya LV iliwahi kutajwa kama kampuni namba moja kwa utengenezaji wa vitu vyenye thamani ya juu zaidi duniani na bado haijaacha kubuni vitu vya kitofauti na vyenye gharama ya juu zaidi ambapo mwaka huu wa 2018 wamezindua choo cha kukaa cha brand ya Louis Vuitton chenye thamani ya Dola 100,000 za kimarekani ambazo ni zaidi ya Shillingi Milioni 220 za Kitanzania.
Louis Vuitton ni moja kati ya kampuni kubwa za fashion duniani na kwa miaka sita mfululizo kuanzia 2006 hadi 2012 kampuni hiyo ya Louis Vuitton ilitajwa kama kampuni namba moja kwa utengenezaji wa vitu vyenye thamani ya juu zaidi.
Pia kwa mwaka huu 2018 Louis Vuitton ndio kampuni pekee iliyokuwa imepewa nafasi ya kutengeneza begi maalum la kubebea Kombe la Dunia lililofanyika nchini Urusi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK