Jeneza la Ajabu Lililogunduliwa Misri Lafunguliwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jeneza la Ajabu Lililogunduliwa Misri Lafunguliwa
Wiki tatu zilizopita, wanaakiolojia nchini Misri waligundua jeneza kubwa lililoundwa kwa mawe magumu ya matale (granite) ya rangi nyeusi katika mji wa Alexandria.

Jeneza hilo lilikuwa limekaa kwa zaidi ya miaka 2,000 bila kufunguliwa.

Uvumi ulianza kueneza upesi, kwamba huenda jeneza hilo lilikuwa na mabaki ya kiongozi maarufu wa Wagiriki, Alexander the Great, au pengine kitu cha laanakubwa.

Kwa mujibu wa wataalamu waliolofungua, jeneza hilo halikuwa na hata kimoja kati ya vitu hivyo viwili.

Badala yake, waligundua mifupa ya watu watatu na maji machafu sana ya rangi ya hudhurungi ambayo yalitoa uvundo usioweza kuvumiliwa, mkali ajabu.

Waziri wa Vitu vya Kale wa Misri alikuwa ameteua kamati ya wanaakiolojia wa kufungua jeneza hilo ambalo liligunduliwa katika eneo kulikokuwa kunafanyika ujenzi.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad