Hukumu ya Kesi ya Wema Sepetu Kutolewa Leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hukumu ya Kesi ya Wema Sepetu Kutolewa Leo
Mahakama ya kisutu mjini Dar es Salaam inatarajiwa kutoa hukumu dhidi ya kesi ya umiliki wa bangi inayomkabili aliyekuwa mshindi wa shindano la malkia wa urembo nchini Tanzania Wema Sepetu.

Hakimu mkaazi Thomas Simba aliambia mahakama hiyo siku ya Jumatatu kwamba hukumu hiyo iliotarajiwa kutolewa siku ya Jumatatu sasa itatolewa Ijumaa baada ya kukamilika kwa maswala machache yaliokuwa yamesalia.

Wema Sepetu ambaye alishinda taji la malkia wa urembo nchini humo 2006 atahukumiwa pamoja na washtakiwa wengine wawili Angelina Msigwa na Matrida Seleman Abas .

Inadaiwa kwamba mnamo tarehe 4 mwezi Februari mwaka uliopoita , Wema na wenzake walipatikana wakimiliki misokoto ya bangi katika eneo la Kunduchi Ununio.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad