Watu Wanne Wanusurika Kuchomwa Moto Kisa Ushirikina

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Watu wanne wanusurika kuchomwa moto kisa ushirikina
Watu wanne wamenusurika kuchomwa moto kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya ushirikina katika hifadhi ya msitu wa Isawima kijiji cha Mpanda Mlowoka wilayani Kaliua mkoani humo.

Akithibitisha kutokea kwa matukio hayo kamanda wa polisi mkoa wa Tabora kamishna msaidizi EMMANUEL NLEY amesema tukio la mauaji lilitokea usiku wa July 14 ambapo marehemu alivamiwa na kuuawa kwa kukatwa shingo na kitu chenye ncha kali.

Kamanda NLEY anaendelea kuelezea tukio lingine la wakina mama wanne walionusurika kuchomwa moto

Katika tuki hilo jeshi la polisi limefanikiwa kukamata pikipiki mbili moja ikiwa ni mali ya Mtemi wa sungusungu wa eneo hilo pia kuwatia nguvuni watu kumi na sita.

Mbali na matuki hayo pia mnamo july 14 huko katika kata ya ipuli mjini Tabora mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la REGINA ATHUMANI aliuawa kwa kupigwa kisha kunyongwa na mumewe

Jeshi la pilisi mkoani Tabora limewataka wananchi kuacha tabia ya kujichukulia sheia mkononi
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad