AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Walipoteza 1-0 dhidi ya Ureno fainali ya Euro 2016, wakiwa wenyeji.
Les Bleus iliilaza Croatia 4-2 Moscow siku ya Jumapili na kuwa mabingwa wa dunia kwa mara ya pili katika historia yao.
"Ni wachezaji wadogo, walioko juu ya mataifa yote katika dunia. Wengine ni mabingwa wakiwa na miaka 19," alifunguka Deschamps, nahodha wa Ufaransa waliponyakua ubingwa 1998.
Alisema ushindi huo "haukumhusu yeye ", akiongeza: "Ni wachezaji walioshinda mechi."
"Hatukucheza mchezo maridadi vile lakini tumeonyesha ukomavu na ubora wa kiakili," aliongeza.
"Licha ya yote, tumefunga mabao manne.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK