AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mpaka sasa hakuna ajenda yoyote ya mkutano huo, ambao utahudhuriwa tu na watafsiri wao.
Aidha licha ya mkutano huo kutotegemewa sana, lakini wanaweza kuonesha dalili mpya za kuanza kwa awamu mpya ya mahusiano kati ya Washngton na Moscow, baada ya kufarakana kufuatia Urusi kuitwaa kwa nguvu Crimea.
Aidha wachunguzi wa mambo wanadhani pia kuna hatua inaweza kupigwa katika kuumaliza mzozo wa Syria na pia mazungumzo kuhusiana na masuala ya Nyuklia.
Mkutano huo unaosubiriwa kwa hamu, unakuja baada ya Warusi 12 kushtakiwa kwa makosa ya kufanya uhalifu wa kimtandao wakati wa uchaguzi wa Marekani wa mwaka 2016.
Rais wa Marekani na mkewe wakiwasili mjini Helisinki, Finland
Awali Rais Trump alisema atalizungumzia suala hilo kwenye mkutano huo, licha ya kwamba mkutano huo hauna ajenda maalumu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK