AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kessy ni kati ya wachezaji waliomaliza mikataba ya kuendelea kuichezea timu hiyo mwishoni mwa msimu huu na kuanza mazungumzo ya kuichezea timu hiyo.
Beki huyo hivi karibuni ilielezwa kutimkia Klabu ya Nkana FC ya nchini Zambia katika msimu ujao baada ya kutakiwa na timu hiyo.
Akizungumza na Championi Jumatatu, Kessy alisema ujanja wanaotaka kuufanya viongozi wa timu hiyo ni kutaka kumfanyia usajili dakika za mwisho kabla ya dirisha kufungwa ikiwa ni kwa dau dogo wakiamini hatakuwa na sehemu ya kwenda.
“Ujanja wanaotaka kuufanya viongozi nimeshaushtukia wa kutaka kunikurupusha kusaini ikiwa ni siku chache baada ya usajili kufungwa kwa dau wanalolitaka wao.
“Mimi nitasaini Yanga kwa dau ninalolitaka ambalo tayari nimewapatia kama hawatakuwa tayari kunipa hiyo hela basi, nitaondoka zangu kwingine ikiwezekana hata kurudi Mtibwa Sugar,” alisema Kessy.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK