AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bw Trump ameandika kwenye Twitter, kwa herufi kubwa, kwamba "Iran itapata madhara ambayo ni wachache sana wamewahi kukumbana nayo katika historia" iwapo itaitishia Marekani.
Bw Rouhani awali alikuwa amesema kwmaba vita na Iran vitakuwa "vita zaidi ya vita vingine vyote".
Mwezi Mei, Marekani ilijitoa kutoka kwa mkataba wa nyuklia na Iran ambao ulikuwa umehusisha Iran kusitisa shughuli zake za nyuklia ili iondolewe vikwazo vya kimataifa.
Marekani sasa imeanza kuiwekea tena Iran vikwazo licha ya pingamizi kutoka kwa Uingereza, Ufaransa, China, Urusi na Ujerumani wote ambao walikuwa wadau katika mkataba huo wa mwaka 2015.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK