AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha, Ramadhani Ng’anzi alisema kwamba tukio hilo lilitokea usiku wa Juni 30.
Alimtaja marehemu kuwa ni Baraka Lenguti (28) mkazi wa KIA wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro ambaye maiti yake ilichukuliwa na askari polisi wa Longido kwa ajili ya uchunguzi.
Alisema kwamba majeruhi aliyelazwa katika Hospitali ya Longido hajafahamika na bado yuko mahututi.
Kamanda Ng’anzi alisema mkasa huo umetokea baada ya wachimbaji hao kuingia ndani ya mgodi kabla ya muda wa saa 48 baada ya ulipuaji wa baruti kufanyika.
Alisema kwamba kwa mujibu wa kanuni za madini zilizowekwa na Serikali wachimbaji wakishalipua baruti katika miamba husubiri kwa muda wa saa 48 ndipo wanaruhusiwa kuendelea na shughuli.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK