AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye amesema hawezi kukihama chama hicho tawala kwa kuwa ana hisa nyingi.
Nape ametoa kauli hiyo jana jioni Jumapili Julai 15, 2018 mbele ya wananchi wa Mtama ambao jioni hiyo alijumuika nao kutazama fainali za kombe la Dunia..
Amewataka wananchi hao kuondoa hofu juu yake akiwataka kupuuza maneno yanayosemwa kuhusu hatima yake CCM ambapo alisisitiza kuwa hataondoka katika chama hicho.
Kuhusu asilimia 65 ya ushuru wa zao la korosho kwenda Serikali Kuu, Nape amesema ataendelea kufuatilia jambo hilo na kusisitiza kuwa kuteleza si kuanguka.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK