AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika maombi hayo ambayo yaliyofanyika kwenye kanisa la mchungaji huyo nchini Nigeria na kurushwa na runinga yake ijulikanayo kwa jina la Emmanuel TV, Ngoma alionekana akiombewa kwa kushikwa goti lake la mguu wa kulia ambalo limekuwa likimsumbua kwa muda mrefu.
Tatizo hilo la goti limemfanya Ngoma akae nje ya uwanja kwa muda mrefu na sasa anatarajiwa kurudi uwanjani mwezi ujao na kukosa baadhi ya mechi za mwanzo za msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.
Ikumbukwe kuwa, Ngoma aliyejiunga na Azam hivi karibuni akitokea Yanga baada ya mkataba wake kuvunjwa kutokana na matatizo hayo ya goti, alipelekwa Afrika Kusini kufanyiwa matibabu ya kina na hivi karibuni anatarajiwa kurudi uwanjani.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK