Ratiba ya Ligi Kuu Msimu Ujao Kutolewa Leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ratiba ya Ligi Kuu Msimu Ujao Kutolewa Leo
Wakati msimu wa Ligi Kuu Bara 2018/19 ukisubiriwa kwa hamu na wadau wengi wa soka hapa nchini, Mkurungenzi wa Bodi ya Ligi, Boniface Wambura, amesema ratiba ya mechi zote inatoka leo.

Wambura amesema ratiba hiyo imezingatia kila kitu ikiwemo uwepo wa michuano ya CAF pamoja na mingine ambayo inakuwa inafanyika nchini ili kuondoa muingiliano wa ratiba.

Mkurugenzi huyo ameeleza awamu hii wamejitahidi kuiweka ratiba katika mpangilio mzuri tofauti na misimu ambayo imepita ili kuepuka uvunjaji na kupunguza malalamiko kwa baadhi ya klabu.

Kikao na Waandishi wa Habari kitafanyika leo kwa ajili ya kuiweka hadharani ratiba hiyo ili klabu zote ziweze kuiona tayari kujipanga kwa mechi za msimu mpya.

Ikumbukwe Ligi Kuu itaanza mwezi ujao wa Agosti ambapo jumla ya timu 20 zitakuwa zinawania kikombe cha ligi tofauti na 16 zilizokuwepo awali.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad