AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wambura amesema ratiba hiyo imezingatia kila kitu ikiwemo uwepo wa michuano ya CAF pamoja na mingine ambayo inakuwa inafanyika nchini ili kuondoa muingiliano wa ratiba.
Mkurugenzi huyo ameeleza awamu hii wamejitahidi kuiweka ratiba katika mpangilio mzuri tofauti na misimu ambayo imepita ili kuepuka uvunjaji na kupunguza malalamiko kwa baadhi ya klabu.
Kikao na Waandishi wa Habari kitafanyika leo kwa ajili ya kuiweka hadharani ratiba hiyo ili klabu zote ziweze kuiona tayari kujipanga kwa mechi za msimu mpya.
Ikumbukwe Ligi Kuu itaanza mwezi ujao wa Agosti ambapo jumla ya timu 20 zitakuwa zinawania kikombe cha ligi tofauti na 16 zilizokuwepo awali.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK