Ufaransa na Ubelgiji Kuchuana Nusu Fainali Kombe Leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ufaransa na Ubelgiji Kuchuana Nusu Fainali Kombe Leo
Timu ya kabumbu ya Ufaransa kuchuana na timu ya Ubelgiji katila mechi ya nusu fainali ya kombe la dunia mwaka 2018 nchini Urusi

Timu ya kabumbu ya Ufaransa kuchuana na timu ya Ubelgiji katila mechi ya nusu fainali ya kombe la dunia mwaka 2018 nchini Urusi

Mchuano kabambe kati ya Ufaransa na Ugelgiji unasubiriwa kwa hamu kubwa usiku wa Jumanne  katika uga wa Saint Petersburg . Kipengo cha mechi hiyo kÅŸtapigwa saa tatu kamili majira ya Uturuki na kuoneshwa moja kwa moja  kupitia tovuti ya TRT1, TRT 4K na tovuti ya fifa2018.trtspor.com.tr 

Muamuzi wa mechi hiyo ni raia kutoka Uruguay Andres Cunha.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad