Idadi ya Vijana Waliookolewa Kutoka Pangoni Thailand Yafikia 10

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Idadi ya Vijana Waliookolewa Kutoka Pangoni Thailand Yafikia 10
Vijana wengine wawili  waliokuwa wamenasa pangoni wameokolewa mchana huu na hivyo kufanya idadi ya waliookolewa kufikia kumi tangu kuanza kwa operesheni hiyo Jumapili iliyopita.

Vijana hao wanapatiwa matibabu ya dharura kabla ya kusafirishwa kwa helkopta kupelekwa hospitalini kuungana na wenzao wanaoendelea kuchunguzwa afya zao.

Wawili kati yao wamegundulika kuwa na matatizo kwenye mapafu na tayari wameanza kupata matibabu.

Kuokolewa kwa vijana hao kunafanya vijana waliokwama kwenye pango hilo kubakia wawili na mwalimu wao.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad