AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Eatv.tv imemtafuta msemaji wa klabu ya Simba Haji Manara ili kuweka wazi hili lakini amesema bado muda wa kuweka wazi kambi yao itawekwa wapi haujafika lakini kwasasa wachezaji wanaendelea na taratibu za kuripoti tu kutoka katika mapumziko waliyopewa na benchi la ufundi.
''Tutaweka wazi tukikamilisha mipango ya kambi yetu, kwasasa bado tunaendelea na maandalizi yanayoanza na wachezaji kuripoti na baada ya hapo tutasema ni eneo gani tutaweka kambi'', - amesema.
Aidha kuhusu tetesi za timu hiyo kuweka kambi nje ya nchi, Manara amesema lolote linawezekana na inaweza ikawa hapa nyumbani ama nje ya nchi lakini kwasasa bado haijajulikana itakuwa wapi.
Kambi za muda mrefu za Simba msimu uliopita katika kujiandaa na mashindano mbalimbali ikiwemo ligi kuu na mechi za kombe la shirikisho barani Afrika, zilikuwa zinafanyika mkoani Morogoro.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK