AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
ARUSHA: Mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza katika Shule ya Sekondari Kinana ajeruhiwa mkono baada ya kupigwa fimbo 12 na Mwalimu wake
Inadaiwa kuwa sababu ya adhabu hiyo ni Mwanafunzi huyo kukosea kujibu swali.
Mwanafunzi amedai kwamba Mwalimu huyo aliyetajwa kwa jina la Mkama aliacha kumuadhibu baada ya kuona ameanza kujeruhika.
TOA MAONI YAKO HAPA
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK