AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Barakah amedai kuwa maamuzi hayo ya kubadilisha dini hawakuwa ya ghafla bali yalichukua muda mrefu hadi kuyatekeleza.
Kwenye mahojiano aliyofanya na Bongo 5, amesema kuwa amejitahidi kusoma Biblia na Quran na akaja kubaini kuwa Uislamu ndio dini yake pekee kwa sasa ambayo itamuweka karibu na Mungu.
Baada ya kusoma biblia sana na kusoma Quran sana kukawa kuna vitu nikawa nimeipenda dini ya kiislamu Lakini pia naamini Mungu ni mmoja na tunamuamini Mungu mmoja tofauti ni dini tu”.
Lakini pia Barakah ameweka wazi kuwa pamoja na kubadilisha dini na kuwa Muislamu na kuupenda zaidi Uislamu lakini bado anasoma biblia kwani anataka kumjua Mungu zaidi na kuwa karibu naye.
Siku za nyuma baada ya Barakah kubadilisha dini na kuwa muislamu kuna tetesi zilidai kuwa alibadili dini kwa ajili ya mpenzi wake Naj ambaye ni Muislam taarifa ambazo Barakah alizikataa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK