AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Amesema kauli iliyotolewa na Marekani kuhusu uchaguzi mdogo wa marudio uliofanyika Agosti 12, mwaka huu katika maeneo mbalimbali nchini, inagusa maeneo mengi na ni matarajio yake kwamba taasisi zote za nchi zinazohusika zitazingatia madukuduku yao.
Kauli hiyo ya Dk. Bashiru imekuja siku mbili baada ya Ubalozi wa Marekani kutoa tamko kuhusiana na uchaguzi huo ambapo ilisema uligubikwa na vurugu na pia haukufuata sheria.
“Nimeisoma na nimeielewa, sisi kama chama, tunazingatia zaidi uhuru wa kitaifa kwamba taifa hili ni taifa huru na CCM kina dhamana ya kusimamia uhuru wa kitaifa.
“Ninachojua mimi chaguzi zote zimefanywa kwa msingi wa sheria na matarajio yangu ni kwamba Marekani na taasisi nyingine za kimataifa, zitaheshimu uhuru wa taifa letu,” amesema Dk. Bashiru akihojiwa Kituo cha Deustche Welle cha Ujerumani.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK