AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ubomoaji wa jengo hilo umeanza mapema asubuhi.
Ukay Centre ambayo wakati mwingine hufahamika kama Ukay Mall ni jumba linalopatikana katika mtaa wa Westlands, Kenya na thamani yake inakadiriwa kuwa karibu Kshs1bn.
Mgahawa wa Java wabomolewa Nairobi
Wakaazi waokota kilichosalia katika bomoa bomoa Kibera
Ubomoaji wa jumba hilo umetokea siku moja baada ya Mahakama Kuu kukosa kutoa agizo la kuzuia kubomolewa kwake.
Jumba hilo limejengwa karibu na mto Kinagare na zilifurika maji wakati wa mvua kubwa iliyonyesha mwaka 2016.
Nakumatt Ukay
Ubomoaji wa majengo unafanywa na Mamlaka ya Taifa ya Mazingira Kenya (Nema).
Serikali ya kaunti ya jiji la Nairobi pia imekuwa ikibomoa majengo yaliyojengwa bila idhini.
Ubomoaji
Alhamisi, Rais Uhuru Kenyatta alisema serikali yake haitalegeza msimamo wake katika kubomoa majengo yaliyojengwa meneo ya chemchemi au katika ardhi ya umma iliyonyakuliwa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK