Breaking News: Magufuli Amuwashia Moto Makonda Sakata la Makondena Amtaka Alipe Kodi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Breaking News: Magufuli Amkalia Kooni Makonda Sakata la Makondena Amtaka Alipe Kodi
Rais John Magufuli ashangazwa na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingiza makontena 20 nchini yenye samani mbalimbali na kukataa kutalipia kodi akidai kwamba ni msaada kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya elimu kwa mkoa huo.



Magufuliamesema hayo leo wakati akizungumza na watumishi wa serikali wilayani chato mkoani Geita ambako yuko mapumzikoni.



“Umezungumza na wafanyabiashara huko, umeingiza makontena yako eti yana fenicha za walimu hata shule zenyewe hazitajwi, nani amekwambia walimu wanahitaji masofa?” amesema Rais Magufuli.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad