AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkwasa ambaye alijiuzulu nafasi yake hiyo hivi karibuni kisha majukumu yake yakakabidhiwa kwa Omary Kaaya, sababu ikiwa ni za kiafya, alienda nchini India Agosti Mosi na kufanikiwa kufanyia upasuaji Agosti 4, mwaka huu.
Akizungumza na Championi Ijumaa moja kwa moja kutoka India, mke wa Mkwasa, mama Betty Mkwasa alisema mumewe anaendelea vizuri kiafya na sasa wameshatoka hospitali na wapo kwenye hoteli lakini Mkwasa bado yupo chini ya uangalizi wa daktari ambaye anamhudumia.
“Anaendelea vizuri sana kiafya na sasa ameshatoka hospitali, tupo hotelini licha ya kuwa bado yupo chini ya uangalizi wa daktari Nilesh,” alisema Betty Mkwasa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK