Inasikitisha Mwanafunzi Kidato cha Nne Auawa Kikatili na Kuchunwa Ngozi Tanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Inasikitisha Mwanafunzi Kidato cha Nne Auawa Kikatili na Kuchunwa Ngozi Tanga
Mwanafunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Old Tanga, Shufaa Mbughuni amekutwa amefariki dunia huku uso wake ukiwa umechubuliwa ngozi.

Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Tanga, Edward Bukombe amesema mwili wa mwanafunzi huyo umekutwa jana Agosti 19, 2018 saa 9.40 alasiri katika mtaa wa Majani Mapana kata ya Nguvumali jijini Tanga.

Bukombe alisema taarifa kamili kuhusiana na tukio hilo ataitoa  mara baada ya madaktari wa hospitali ya mkoa wa Tanga ya Bombo kuufanyia uchunguzi mwili wa mwanafunzi huyo.

Naye baba wa mwanafunzi huyo ambaye pia ni mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Majani Mapana, Salim Mbughuni amesema mwanaye aliwaaga wenzake juzi saa 2.00 usiku kwamba anakwenda kijisomea lakini hakurudi kama ilivyo kawaida yake.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad