AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Tanga, Edward Bukombe amesema mwili wa mwanafunzi huyo umekutwa jana Agosti 19, 2018 saa 9.40 alasiri katika mtaa wa Majani Mapana kata ya Nguvumali jijini Tanga.
Bukombe alisema taarifa kamili kuhusiana na tukio hilo ataitoa mara baada ya madaktari wa hospitali ya mkoa wa Tanga ya Bombo kuufanyia uchunguzi mwili wa mwanafunzi huyo.
Naye baba wa mwanafunzi huyo ambaye pia ni mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Majani Mapana, Salim Mbughuni amesema mwanaye aliwaaga wenzake juzi saa 2.00 usiku kwamba anakwenda kijisomea lakini hakurudi kama ilivyo kawaida yake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK