AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Asilimia 10 ya wahudumu wa chumba cha uangalizi maalum wameanza kugundua ongezeko la wingi wa wauguzi kuwa wajawazito.
Katika mkutano wa habari,wanawake walitania kuwa lazima kutakuwa na kitu kilichosababisha hali hiyo au labda walikuwa mapumziko ya sherehe za noeli pamoja(christmas)
Katika kundi hilo la wauguzi wajawazito ,wa kwanza anatarajiwa kujifungua mwezi septemba na wa mwisho mwezi januari.
Rochelle Sherman ambaye ana mwezi mmoja tu aweze kujifungua alisema kuwa hawakuwa wamegundua kuwa wako wajawazito wangapi mpaka walipoanzisha kikundi katika mtandao wa kijamii wa facebook.
Hata hivyo wameshukuru kwa wafanyakazi wenzao kuingia kwenye idara yao na kuanza kuwasaidia kazi ambazo wanawake wajawazito hawawezi kuzifanya kama vile kumuhudumia mgonjwa mwenye ugonjwa wa kuambukiza kama kifua kikuu na kuwahudumia wagonjwa wa saratani.
Wafanyakazi hao watafanya sherehe ya pamoja ya kukaribisha watoto wao'babyshower'wiki ijayo kabla hawajaenda kwenye mapumziko ya uzazi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK