Jokate Afunguka Changamoto Kubwa Aliyokumbana Nayo Kisalawe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jokate Afunguka Changamoto Kubwa Aliyokumbana Nayo Kisalawe
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo amesema kuwa ndani ya muda mfupi aliokaa madarakani akiwa kama DC wa Kisarawe aligundua kuwa vijana wa Kisarawe hawana muamko wa kutafuta fursa mbalimbali ili kujikwamua kimaisha.

Ameyasema hayo wakati akiwa mgeni mwalikwa katika uwasilishwaji wa matokeo ya mradi wa shirika la Plan International wa Uwezeshaji kwa Vijana Kiuchumi (Youth Economic Empowerment) ‘YEE‘ iliyoshirikisha mikoa ya Pwani, Dar es Salaam, Mtwara na Lindi ambapo mgeni rasmi alikuwa Naibu Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Antony Mavunde.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad