AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katika barua hizo Mbunge huyo amewaelezea Watoto wake sababu ya kutorudi nyumbani kama ambavyo aliwaahidi.
“Naandika barua hii kutoka gereza la Kijeshi Makindye, samahani sana Watoto wangu sitaweza kurudi nyumbani kama nilivyowaahidi kwa sababu nimepatwa na matatizo ambayo Mama yenu atawaeleza kwa kirefu zaidi lakini mkiendelea kuniombea nitawahi kurudi nyumbani ili tuwe pamoja”, ameandika Bobi wine.
Mbunge huyo pia katika moja ya barua hizo amewataka Watoto wake kuwa shupavu na kumjali sana Mama yao katika kipindi ambacho yeye hayupo.
Bado hakuna chanzo cha kuaminika kilichothibitisha kama barua hizo ziliandikwa kweli na Mbunge huyo.
Mbunge Bobi Wine atafikishwa tena katika Mahakama ya Gulu nchini humo Agosti 30 kujibu tuhuma za uhaini zinazomkabili.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK